July 28, 2017


Beki Abdi Banda ametembelea kambi ya Simba jijini Johannesburg, Afrika Kusini.

Banda ameondoka Simba na kujiunga Baroka FC ya Ligi Kuu Afrika Kusini.


Lakini leo Banda ametua mazoezini walipo wachezaji wa Simba na kupata nafasi ya kuzungumza na makocha pamoja na wachezaji ikiwa ni pamoja na kuwaaga baadhi yao.



0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic