August 10, 2017


Barcelona wameendelea kushikilia uhamisho wa Neymar wakitaka kulipwa chao.

Tayari PSG imeanza Ligi Kuu ya Ufaransa maarufu kama League 1 lakini Neymar hakucheza.

Barcelona imesisitiza, itaachia uhamisho baada ya kuwa imelipwa chake.


Neymar amejiunga na PSG kwa kitita cha pauni milioni 198 na kuweka rekodi mpya ya usajili duniani.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic