Madega katika uzinduzi huo amesema kutokana na kuwa na uzoefu na matatizo ya soka, hana woga wa kuyatatua akipata ridhaa ya kuwa rais.
Wanahabari wakiendelea kumsikiliza Madega.
Aidha Madega alisema, ni mzoefu wa masuala ya soka kutokana na kuwahi kuwa Mwenyekiti wa Chama cha Soka Mkoa wa Pwani (Corefa) na atautumia uzoefu huo kufanikisha soka linapiga hatua zaidi.
0 COMMENTS:
Post a Comment