August 7, 2017


Hatimaye kiungo Haruna Niyonzima ameanza mazoezi rasmi na kikosi chake kipya cha Simba.


Niyonzima ameanza mazoezi leo kwenye Uwanja wa Boko ambako Simba inajifua kabla ya Tamasha la Simba Day, kesho kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

1 COMMENTS:

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic