August 13, 2017


Uchaguzi wa Shirikisho la Soka la Tanzania umekamilika ambapo shirikisho hilo limepata wajumbe wake watendaji, makamu mpya wa rais pamoja na rais mpya wa shirikisho hilo la soka.

Walioshinda katika nafasi ya ujumbe wa kamati ya utendaji wa shirikisho hilo maarufu kwa jina la TFF ni hawa hapa:

Kanda Namba 13 (Dar es Salaam)
Mshindi ni Lameck Nyambaya

Kanda namba 12 Kilimanjaro na Tanga
Mshindi ni Khalid Andallah

Kanda No 11 Pwani na Morogoro
Francis ni Ndulane ameshinda

Kanda Namba 10 (Dodoma na Singida) 
Mshindi: Mohamed Abeid

Kanda Namba 9 (Lindi na Mtwara)
Mshindi: Dunstan Mkundi

Kanda namba 8 (Njombe na Ruvuma)
Mshindi:  James Mhagama

Kanda namba 7 (Mbeya na Iringa)
Mshindi: Elias Mwanjala

Kanda Namba 6 (Katavi na Rukwa)
Kenneth Pesambili 

Kanda namba 5 (Kigoma na Tabora)
Issa Bukuku

Kanda namba 4 (Arusha na Manyara)
Mshindi: Sarah Chao

Kanda namba 3 (Shinyanga, Simiyu)
Mshindi: Mbasha Matutu

Kanda namba 2 (Mara, Mwanza)
Mshindi: Vedastus Lufano

Kanda namba 1 (Kagera, Geita) 
Mshindi: Salum Chama

Makamu wa Rais
Michael Wambura

NAFASI YA RAIS
Wallace Karia

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic