August 14, 2017


Cristiano Ronaldo amesimamishwa kucheza mechi tano katakana na kitendo cha kumsukuma mwamuzi katika mechi ya Spanish Super Cup dhidi ya Barcelona.

Ronaldo alimsukuma mwamuzi Ricardo de Burgos Bergoetxea mara baada ya kumlamba kadi ya pili ya nano iliyozaa nyekundu.


Kama haitoshi, Ronaldo amepigwa faini ya pauni 2,700 katakana na kitendo hicho.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic