September 14, 2017






Mwenyekiti wa zamani wa Yanga, Yusuf Manji yuko huru baada ya mahakama kumuachia.

Mkurugenzi wa Mashitaka (DPP), amefuta mashikata ya kesi ya uhaini iliyokuwa inamkabiri Manji baada ya kuwasilisha mahakamani nia ya kutotaka kuendelea kumshitaki.

Manji ameachiwa huru leo katika mahakama ya Kisutu baada ya kusota gerezani Keko akiwa mahabusu.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic