September 26, 2017


Mabingwa wa soka Tanzania, Yanga wameendelea kujiweka sawa kwa ajili mechi ijayo dhidi ya Mtibwa Sugar.

Yanga walipumzika leo asubuhi na jioni wakarejea tena mazoezini leo jioni ikiwa ni kuhakikisha wanajiweka sawa kabla ya mechi hiyo ya Jumamosi.

Mazoezi ya Yanga yamefanyika chini ya Kocha George Lwandamina kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar.

KIkosi cha Yanga kimecheza mechi nne na kushinda mbili, sare mbili. Hivyo kimejikusanyia pointi nane sawa na watani wao Simba.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic