October 4, 2017



Kiwango cha mshambuliaji nyota wa FC Barcelona, Lionel Messi, kiko “on fire” hasa.

Messi amecheza mechi tisa za La Liga na kufanikiwa kufunga mabao 11 lakini amefunga mabao 15 katika michuano yote ikiwa ndiyo mwanzo tu wa msimu.

Takwimu zinaonyesha msimu huu ndiyo bora zaidi kwa Messi kuanza kuliko mingle yote tokea ajiunge na FC Barcelona.

Tayari ameishacheza mechi mbalimbali za michuano kama La Liga, Super Cup ya Hispania na Ligi ya Mabingwa Ulaya.

Mwendo huo wa Messi unamfanya kuwa ndiye mshambulizi tishio zaidi katika kipindi hiki.


Mpinzani wake, Cristiano Ronaldo wa Real madrid anaonekana kutokuwa na mwanzo mzuri.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic