Simba imetoa nafasi kwa mshambuliaji Mnigeria kujinoa katika kikosi chake.
Mnigeria huyo mwenye umbo la miraba minne ameonekana kijifua katika kikosi cha Simba kwenye Uwanja wa Amaan mjini Zanzibar.
Mshambuliaji alianza kujifua na Simba jijini Dar es Salaam.
Hata hivyo, Simba wamekuwa hawataki kuzungumzia lolote kuhusiana na mchezaji huyo.
0 COMMENTS:
Post a Comment