Kikosi cha Simba kimeendelea na mazoezi kwenye Uwanja wa Mandela mjini Sumbawanga.
Chini ya Kocha Joseph Omog, wachezaji wa Simba walionekana na ari kubwa huku wakiwa na furaha.
Simba imeweka kambi mjini humo ikisubiri kucheza mechi yake dhidi ya Prisons.
0 COMMENTS:
Post a Comment