November 10, 2017




Kikosi cha Simba kimeendelea na mazoezi kwenye Uwanja wa Mandela mjini Sumbawanga.

Chini ya Kocha Joseph Omog, wachezaji wa Simba walionekana na ari kubwa huku wakiwa na furaha.

Simba imeweka kambi mjini humo ikisubiri kucheza mechi yake dhidi ya Prisons.

Mechi ya pili ya Simba mkoani Mbeya msimu huu baada ya ile dhidi ya Mbeya City ambayo Simba iliondoka kwenye Uwanja wa Sokoine ikiwa na na ushindi wa bao 1- 











0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic