Kocha Mkuu wa Taifa Stars inayodhaminiwa na Bia ya Serengeti, Salum Mayanga (wa pili kushoto) akibadilishana mawazo na wasaidizi wake kutoka kushoto, Ami Ninje, Patrick Mwangata na Fulgence Novatus wakati wa mazoezi ya timu hiyo yanayofanyika Uwanja wa Jakaya Kikwete, Kidongo Chekundu Kijitonyama leo Novemba 6. 2017. (Picha na Alfred Lucas wa TFF).
|
0 COMMENTS:
Post a Comment