December 24, 2017



Kikosi cha Dodoma FC kimeshinda kwa bao 1-0 na kusonga mbele katika michuano ya Kombe la Shirikisho.

Ushindi wa Dodoma FC ugenini dhidi ya wenyeji Coastal Union, unaiondoa timu hiyo ya Tanga katika michuano hiyo.

Pamoja na kusema wanawaheshimu wapinzani wao, Kocha Mkuu wa Polisi FC, Jamhuri Kihwelo ‘Julio’ amewapongeza wachezaji wake kwa kazi nzuri.


0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic