January 25, 2018



Kocha Jose Mourinho sasa ataifundisha Manchester United hadi mwaka 2020.

Mourinho raia wa Ureno ameongeza mkataba huo wa miaka mitatu kwa mwaka mmoja zaidi.


Pamoja na kwamba mashabiki wamekuwa wana hofu huenda ataondoka lakini uongozi unaonekana kumuamini zaidi.

VIKOMBE ALIVYOBEBA AKIWA NA UNITED:
Community Shield (2016)
League Cup (2016-17)

Europa League (2016-17) 

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic