January 25, 2018


Mabingwa wa Ligi Kuu Bara, Yanga wameendelea na mazoezi yao kuhakikisha wanakuwa vizuri kabla ya kuivaa Azam FC keshokutwa Jumamosi.

Yanga wamefanya mazoezi yao kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam wakionekana wako tayari kwa mechi hiyo.

Mechi hiyo inasubiriwa kwa hamu kwa kuwa ni kama fainali kwa Yanga ambayo kama itateleza itakuwa imejiweka mbali zaidi dhidi ya watani wake Simba ambao wanaongoza ligi kwa tofauti ya pointi saba dhidi yao.





0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic