YANGA KUPOROMOKA MPAKA NAFASI YA TATU LEO ENDAPO MATOKEO YA AZAM YATAKUWA HIVI
Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara leo wanaweza wakaporomoka tena kwenye nafasi ya pili katika msimamo wa ligi.
Yanga ipo nafasi ya tatu kwa tofauti ya alama 3 dhidi ya vinara Simba walio na alama 46.
Mpaka sasa Yanga ina ponti 43 ikitofautiana na Azam iliyo nafasi ya 3 kwa alama mbili.
Azam yenyewe ina ponti 41 hivyo endapo kama itashinda mchezo wa leo dhidi ya Mbao FC, itakuwa imefikisha alama 44, hivyo kuweka utofauti wa alama 1 juu.
Hata hivyo Azam watakuwa wametangulia mbele kwa michezo miwili, ambapo hadi sasa wako mbele kwa mechi moja.
Yanga wao kesho watakuwa wanacheza na Stand United Uwanja wa Taifa.







0 COMMENTS:
Post a Comment