July 1, 2018


Klabu ya JKU imepata ushindi wake wa kwanza katika mashindano ya KAGAME kwa kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Kator kutoka Sudan Kusini.

JKU wamekubali kurekebisha makosa yao baada ya mechi ya kwanza kwenda sare ya 1-1 dhidi ya Vipers SC kutoka Uganda.

Baada ya mchezo huo kumalizika, baadaye kuanzia saa 2 usiku mabingwa watetezi wa michuano hiyo, Azam FC watakuwa wanacheza dhidi ya Vipers.

MIkumbukwe katika mchezo wa kwanza Azam iliweza kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya APR.


0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic