July 2, 2018





Mrisho Ngassa amerejea Yanga rasmi baada ya kuanza mazoezi leo.
Ngassa ameanza mazoezi na kikosi cha Yanga kwenye Uwanja wa Polisi jijini Dar es Salaam.


Pamoja na kuanza mazoezi, Ngassa bado hajamalizana na Yanga lakini yuko katika hatua nzuri.


Mwenyewe amekuwa hataki kulizungumzia suala hilo lakini rafiki yake wa karibu amesema wanakaribia kumalizana.

“Imebaki kidogo tu watamalizana na Yanga, ameona aanze mazoezi kwa kuwa wako ukingoni,” alisema.

Ngassa anarejea Yanga kwa mara ya tatu, safari hii akitokea Ndanda FC ambayo ilinusurika kuteremka daraja msimu uliopita.

4 COMMENTS:

  1. Kaazi kwelikweli!!!!Ama kweli tajiri akichacha hula mpaka viporo vya juzi

    ReplyDelete
    Replies
    1. Kiporo Okwi kilikuwa bado hakijachacha kama hiki

      Delete
    2. Mwinyi Kazimoto anafanyanya nini pale Mikia mpaka sasa hivi au ndo nyani haoini kundule??

      Delete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic