September 24, 2018


Mechi za Ligi Kuu Bara zimeendelea tena leo kwenye viwanja kadhaa nchini.

Katika mechi zilizochezwa, Mbao ambao walitoka kuadhibu Simba wakiwa kwao CCM Kirumba Mwanza, wameendelea ushindi kwa kuifunga bao 1-0.

Aidha, Stand United nayo imefanikiwa kuirarua Ndanda FC kwa mabao 3-1.

Wakati huo Mtibwa Sugar nayo imefanikiwa kuilaza African Lyon Uwanja wa Uhuru kwa mabao 2-0.



0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic