September 10, 2018


Rais Dkt John Magufuli ameataka wananchi kufanya kazi kwa bidii na kuongeza uzalishaji mali ili kuliendeleza Taifa.

Rais Magufuli ametoa wito huo mkoani Simiyu na kuwataka wananchi kuacha utegemezi kwa serikali bali wao wawe ndio chachu ya kuisaidia serikali.

Tazama video hapa chini alivyomzungumzia Waziri Jafo, hadharani


0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic