October 21, 2018


Kiungo mshambuliaji wa Simba Hassan Dilunga amewataka mashabiki waendelee kuwapa sapoti hasa katika michezo yote ya ligi kuu bila kukata tamaa.

Dilunga ambaye alikuwa nje ya uwanja kwa muda kutokana na kuwa majeruhi,leo atakuwa uwanjani wakati Simba wakicheza na Stand United, amesema kwa sasa yupo fiti  kuonesha ushindani.

"Nipo vizuri kwa sasa namshukuru Mungu,kikubwa tu nawaomba mashabiki waendelee kutupa sapoti katika michezo ambayo tutacheza kwani ushindani ni mkubwa kwenye ligi"alisema.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic