October 21, 2018



Mpiga picha na mwongozaji wa video za Wasafi, Lukamba amefanya mahojiano na Global TV Online  baafda ya kuzawadiwa gari mpya aina ya Toyota, Alteeza na msanii wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz.


Katika mahojiano hayo Lukamba amesema kuwa amekuwa akitumiwa meseji nyingi kupitia Insta Dm, huku wakimwagia sifa mbalimbali, Pia amefunguka kuwa gari aliyopewa na bosi wake akatwi chochote kwenye mshahara wake.
Alichokisema Diamond wakati anamzawadia Lukamba zawadi ya gari

“Lukamba anakaa Bunju, kuna kipindi alikabwa na kuchukuliwa hadi laptop sasa leo nampatia gari,” aliyasema Diamond Platnumz akiwa katika tafrija aliy­oifanya mitaa ya Tandale Sokoni katika kusherehekea siku yake ya kuzaliwa ambapo aligawa misaada mbalimbali kwa wananchi wa Tandale.

TAZAMA MAHOJIANO YA LUKAMBA NA GLOBAL TV HAPA CHINI

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic