Hatimaye mshambuliaji maarufu duniani kote, Didier Drogba ,40, ameamua kustaafu kucheza soka.
Drogba raia wa Ivory Coast ameamua kutundika daruga akiwa na mechi 679 alizocheza pamoja na mabao 367.
Mabao hayo yanamfanya kuwa mmoja ya washambulizi wa kati wa asili kufunga mabao mengi zaidi.
REKODI YAKE:
๐ 679 mechi
⚽ 367 mabao
๐จ๐ฎ 104 mechi timu ya taifa
๐๐ช๐บ 1x UCL
๐๐ด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ 4x Premier League
๐๐ด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ 4x FA Cup
๐๐ด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ 3x League Cup
๐๐น๐ท 1x Sรผper Lig
๐๐น๐ท 1x Turkish Cup
๐๐น๐ท 1x Turkish Super Cup
๐๐ 2x African POTY









0 COMMENTS:
Post a Comment