February 12, 2019




Dakika 90 zinamalizika Simba 1-0 Al Ahly  Uwanja wa Taifa na Simba wanavuna pointi tatu nyumbani.

Dakika ya 90+4 Simba wanapata kona 
Dakika ya 90 + 3 Kagere anadondoka, mpira unaendelea
Dakika ya 90 Kotei anatolewa nje akiwa ameumia anaingia Mzamiru Yassin
Dakika ya 90 Waarabu wanapaisha mpira mawinguni wakiwa eneo la hatari.
Dakika nne zinaongezwa Taifa, Simba wameacha kukaba
Dakika ya 90 mwarabu anakosa bao la wazi
Dakika ya 89 Kotei anapiga mpira nje kwa waarabu
Dakika ya 88 Waarabu wanaanza safari kwa Manula baada ya Dilunga kucheza faulo.
Dakika ya 87 Manula anaamka na mpira unaanza kwenda kwa Waarabu.
Dakika ya 85 Manula alikwenda hewani wakati anashuka anaangukia mgongo.
Dakika ya 84 Simba wanaanza mashambulizi kwenda kwa Mwarabu, Mpira unatolewa nje anarusha Zimbwe, Kagere, wanadaka Waarabu.
Dakika ya 83 Mkude anauza kwa waarabu.
Dakika ya 82 Waarabu wanapata faulo inachezwa vizuri ila kichwa cha Mwarabu kinapaa Mawinguni.
Dakika ya 81 Bocco anatolewa nafasi yake inachukuliwa na Dilunga.
Dakika ya 81 Chama anapoteza Mpira kwa waarabu wanaanza safari kwa Manula sasa, Juuko anacheza rafu 
Dakika ya 80 Manula ananyanyuka, Waarabu wanaanza safari kumfuata sasa.
Dakika ya 79 bado Manula anagangwagangwa Uwanjani.
Dakika ya 77 Zana anakaba,ila bado waarabu wanamuwinda Manula anaokoa baada ya mabeki kukabia kwa macho na kumuumiza Manula.
Dakika ya 76 Kagere alipata pasi kutoka kwa Kotei akapaisha mpira mawinguni.

Dakika ya 75 Waarabu wanamchezea rafu Kotei
Dakika ya 75 bado waarabu wapo kwa mshikaji Manula
Dakika ya 74 waarabu wanaanza safari kwenda kwa Manula wao karibu na eneo la hatar sasa
Dakika ya 73 waarabu wanaanza safari kwa Manula
Dakika ya 72 Kotei anacheza rafu kwa waarabu wanapata faulo haziai matunda.
Dakika ya 71 Okwi anarejea Uwanjani kuwavaa waarabu.
Dakika ya 69 Okwi anatolewa akiwa kwenye machela.

Dakika ya 67, Mkude, Bocco mchezaji wa Simba anapata majeraha dakika ya 68 Okwi baada ya kuanguka na kupoteza fahamu kwa muda wa dakika kadhaa.

Dakika ya 66 Chama anatoa Mpira nje
Dakika ya 64 Kagere anaandika bao tamu na kumyayua Mohamed 'Mo' akitumia pasi ya Bocco ya kifua baada ya kupokea pasi ya mmwaga maji Zana.
Dakika ya 63 Waarabu wanamfuata Manula , Wawa anaanua hatari.

Dakika ya 62 Bocco anatoa Boko akiwa eneo la hatari baada ya kupewa pasi na Okwi
Dakika ya 61 Simba wanarusha kwa kumtumia Mohamed 
Dakika ya 60 Zana aliingiza majaro ya hatari eneo la hatari ila mira ukababatizwa ukatoka nje goal kick.

Dakika ya 59 Juuko anapoteza kwa waarabu, Wawa anafanya yake, Chama, Kagere anapoteza.
Dakika ya 58 Mkude anamsumbua Mwarabu na kumchezea faulo.

Dakika ya 57 Waarabu wanaanza safari kwa Manula Juuko anaanua
Dakika ya 57 Wawa anauza kwa waarabu.
Dakika ya 56 Juuko Murshid anagangwa gangwa guu lake la kushoto.

Dakika ya 55 Okwi anamchezea faulo Mwarabu karibu na eneo la hatari, Waarabu wanatumia nafasi ila mpira unapaa mawinguni.
Dakika ya 54 Zana anauza kwa Waarabu
Dakika ya 53 waarabu wanaanza safari kwenda kwa Manula, wanarejea nyumbani kisha wanaendela kupitia kwa Mohamed, Ramadhan, Khalid, Junior Wawa anazuia.
Dakika ya 52 Kager anashindwa kutumia nafasi ya mpira wa Zana.

Dakika ya 51 Waarabu wanapata faulo na mlinda mlango wao anapata hudua ya kwanza.

Kipindi cha pili Simba wanakosa nafasi za wazi tatu, dakika ya 45 Okwi, dakika ya 46 Okwi na dakika ya 49 Bocco.

Dakika 45 zinakamilika huku Simba wakishindwa kutumia nafasi walizozipata pamoja na Al Ahly nao wanakwenda mapumziko wakiwa ngoma droo.

Dakika ya 45 Waarabu wanaanua kona wanalifuata lango la Manula, Zana anachezewa faulo na waarabu.

Dakika ya 45, Chama anakataliwa na Warabu, Zana, Chama, Mkude, Chama, Kagere, kona.

Dakika ya 44 Waarabu wanalifuata lango la Manula kama hawana haraka hivi leo.
Dakika ya 43 Waarabu wote wanarudi langoni.
Dakika 42 Mohamed Hussen anafanya shambuliz mlinda mlango anadaka.
Dakika ya 42 Okwi anaangushwa eneo la hatari mwamuzi anapeta.
Dakika ya 41 Waarabu wanaliandama lango la Manula, Wawa anaosha majalo huko.

Dakika ya 40 Kagere anahindwa kutumia pasi ya Chama akiwa eneo la hatari na kuifanya iwe kona baada ya mlinda mlango kudakia nje.
Dakika ya 40 Waarabu wanaliandama lango la Manula.

Dakika ya 39 Kwasi anatoka anaingia Mohamed Hussen wa Simba.

Dakika ya 38 Kona haizai matunda, Kagre anatumia nguvu mpira unatoka nje.
Dakika ya 38 Kona inapigwa kwa sasa na Okwi.

Dakika ya 36 Simba wanapata kona baada ya Kwasi kupiga shuti eneo la hatari, Kwasi anazidiwa misuli inakaza anapewa huduma ya kwanza.
Dakika ya 35 Waarabu wanaendelea kuliandama lango la Manula, anaokoa sasa Simba wamezidiwa nguvu eneo la ulinzi muda huu hatari sana.
Dakika ya 33 waarabu wanafanya Counter attack, All Manashira, Amri, Mohamed,Mohamed, Mahanuz wanatoa nje ya hatari wachezaji wa Simba wanakabia macho hapa.
Dakika ya 33 Wawa, Chama, Mkude, Okwi, Chama, Kwasi, Bocco waarabu wanatoa mpira nje.
Dakika ya 32 Kagere anazidiwa ujanja na waarabu
Dakika ya 31 James Kotei, Bocco anazuiliwa na Mohamed Ally.

Dakika ya 31 waarabu wanafanya shambulizi kwa Manula anaokoa.

Dakika ya 30 Kwasi anatoa pasi kwa warabu akiwa eneo la hatari la waarabu.

Dakika ya 29 waarabu wanaanza mpira kwa kurusha kwenda kwa Manula.

Dakika ya 29 Chama anashindwa kupeleka mashambuliz kwa waarabu baada ya mbele kukosekana wachezaji.

Dakika ya 28 Waarabu wanakwenda lango la Manula wakiwa na Ramadhani, Okwi anazuia.
Dakika ya 27 Chama anafanyiwa faulo baada ya kuzidisha mbwembwe.

Dakika ya 26 Waarabu wanaingia eneo la Simba Kwasi anazuia.

Dakika ya 25 Manula anaanzisha mpira, Kagere, Chama, Okwi, Kwasi, Chama waarabu wanatoa.

Dakika ya 24 Wawa anaanzisha mashambulizi kwa Jonas Mkude anampa Kwasi, Kotei, Mkude, Okwi anakosa bao kwa kupaisa mpira mawinguni.

Dakika ya 22 Juuko Murshid anaosha hatari eneo lao.

Dakika ya 22 Kagere anamchezea rafu mchezaji wa Al Ahly.

Dakika ya 21 Al Ahly wanafanya jaribio la kwanza kwa Simba wanakosa
Dakika ya 20 Al Ahly wanapata faulo baada ya mchezaji wa Simba kucheza rafu
Dakika ya 19 Simba wanaanza mashambulizi kupitia kwa Zana Coulibaly
Dakika ya 18 Bocco anapaisha mpira mawinguni akiwa karibu na eneo la hatari
Dakika ya 18 Al Ahly wanarusha kwenda Simba
Dakika ya 17  Simba wanarusha
Dakika ya 16 Wawa anaanzisha mashambulizi kwenda kwa Al Ahly

7 COMMENTS:

  1. Kipindi cha pili simba wanabugia. hao warabu wajanja sana. wamecheza mpira laini kipindi cha kwanza ili wasichoke. kipindi cha pili wataingia na nguvu kubwa na kupata bao zaidi ya moja. simba hawatapata hata bao moja kama wameshindwa kupata kipindi cha kwanza

    ReplyDelete
    Replies
    1. We we ulieandika ya kufikirika na kwa upeo wako sasa andika Simba imeshinda. Sawasawa

      Delete
  2. Saleh jembe uliyekuwa unaandika makala kila Sikh unawaita simba wajinga! Salamu zako!Kama Simba wanaweza wafunga All Ahly basis anaweza fika nusu fainali..ndio ukweli huo ambao unapaswa kuuweka kwenye kona ya ubongo wako!

    ReplyDelete
  3. Simba ni simba tu taifa hatoki mtu!!!!!

    ReplyDelete
  4. Simba ni simba tu taifa hatoki mtu!!!!!

    ReplyDelete
  5. Great. Lion's ruthless roar has been clearly heard across the African Continent. God Is Great And Willing. We are looking forward for
    more and more

    ReplyDelete
  6. Congratulation Simba for this great achievement under the leadeship of Great Moo with entire staff

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic