March 18, 2019


Ratiba ya Mechi Za Yanga Ligi Kuu Zilizobaki


16/03/2019
Lipuli vs Yanga -Iringa (IMECHEZWA)

03/04/2019
Ndanda vs Yanga -Mtwara

07/04/2019
Yanga Vs African Lyon -Taifa

11/04/ Yanga Vs Kagera Sugar -Taifa

17/04/31019 
Mtibwa Sugar vs Yanga -Moro

29/04/2019
Azam vs Yanga -Taifa

05/05/2019
Yanga Vs Prisons -Taifa

09/05/2019
Biashara United vs Yanga -Musoma

13/05/2019
Ruvu shooting vs Yanga-Taifa

22/05/2019
Yanga Vs Mbeya City-Taifa

26/05/2019
Yanga Vs Azam- Taifa

6 COMMENTS:

  1. kwa nini mechi ya yanga na azam raundi ya kwanza hadi leo imewekwa kiporo kama si kumtengenezea yanga mazingira magumu

    ReplyDelete
    Replies
    1. Mazingira gani makumu??? Kuna baadhi ya timu mnaziogopa???

      Delete
  2. Simba walilalamika sana kutaka mechi hii ya kiporo kati ya Azam na Yanga kuchezwa lakini iliendelea kupigiwa kalenda na Yanga walionekana kufurahia jambo hilo sasa Azam imenoga Yanga mnaingia mchecheto.

    ReplyDelete
  3. Nan anaingia mchecheto wew,mech ya round ya kwanza ilibid ichezwe mapema acha wenge bro

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic