April 8, 2019

1 COMMENTS:

  1. Orodha iliyotoka katika kuchukua fomu za kugombea uongozi katika uchaguzi wa Yanga inaonekana kuna watu/waliochukua fomu baadhi yao hata uhalali wa uanachama/upenzi wao katika klabu ya Yanga una ulakini.... walakini....mfano sijui kama Dk Mshindo Msola na Fredrerick Mwakalebela ni Yanga. Pia kuna waliochukua fomu ambao walishashindwa kuongoza taasisi mbalimbali za serikali au michezo huko nyuma na kukumbwa na kashfa mbalimbali zikiwemo Ubadhirifu wa pesa, kutoa ama kupokea rushwa lakini nao pia wamejitokeza....wanachama wa Yanga wanatakiwa kuwa makini mno....kuchuja mamluki na wale ambao hawana maslahi na klabu na maendeleo ya mpira wa miguu nchini....Viongozi wanaotakiwa ni wale ambao ni waadilifu na walio na vision na ubunifu katika katika kuitoa klabu hapo ilipo na kuipeleka katika level ya juu ya maendeleo kulingana na ukubwa wa klabu ulivyo....na kuifanya ijitegemee...wanachama lazima watambue walipotoka wapi walipo na wapi wanataka kwenda....historia yao ya uanachama wa Yanga, historia ya mgombea mmoja mmoja lazima iainishwe na iwekwe wazi ushiriki wake huko nyuma katika kuisaidia klabu kimawazo, fedha na hali yoyote ile...ili wapimwe uwezo wao kabla ya kupewa madaraka!

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic