KUELEKEA kwenye mchezo wa kirafiki wa kimataifa kati ya Simba na Sevilla Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetangaza Waamuzi watakaochezesha mchezo huo.
Simba ambao ni washindi wa tatu kwenye michuano ya SportPesa Cup watemenyana na Sevilla ya Hispania uwanja wa Taifa Mei 23,2019.
Muamuzi wa Katikati atakua Elly Sasii, muamuzi msaidizi namba moja Mohammed Mkono kutoka Tanga, muamuzi msaidizi namba mbili Soud Lila wa Dar es Salaam na muamuzi wa akiba atakuwa Jonesia Rukyaa kutoka Kagera.
0 COMMENTS:
Post a Comment