July 15, 2019


ALEXIS Sanchez staa wa Chile anayekipiga Manchester United anashika namba moja kwa kulipwa mkwanja mrefu ndani ya Ligi Kuu England.

Mshahara wake kwa mwezi anaolipwa na mabosi zake United ni pauni milioni mbili sawa na sh. bilioni 5.7.

Licha ya kukunja mkwanja huo mrefu uwanjani amepachika mabao matano tu na amecheza mara 45 tangu alipojiunga na kikosi hicho akitokea Arsenal.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic