August 4, 2019


INAELEZWA kuwa beki wa timu ya Simba, Juuko Murshid yupo mbioni kujiunga na klabu ya Wydad Casablanca kwa kandarasi ya miaka miwili.

Nyota huyo anayekipiga timu ya Taifa ya Uganda Uganda inaelezwa kwa sasa yupo Morocco ili kukamilisha dili hilo.


Uongozi wa Simba ulieleza kuwa mkataba wake ndani ya Simba bado unaendelea na walimwandikia barua ya kumrejesha kwenye kikosi.

6 COMMENTS:

  1. Wamemlipa fedha zake, au ndo mwendelezo wa vilabu vya bongo kuwakopa wachezaji!?

    ReplyDelete
  2. Mchezaji mtoro huwa halipwi

    ReplyDelete
    Replies
    1. Kwa hiyo Juma Abdul na Vicent Andrew Dante wana haki ya kutolipwa kwa utoro?

      Delete
  3. Mishahara ndio lakini sio pesa yao ya usajili .Juuko alitoroka kazini.Juma ,Dante nä Yondani hawajalipwa pesa zao za usajili.

    ReplyDelete
  4. Mmh sheria ya Usalama na Mahusiano kazini inasema unapokosa kuonekana kazini kwako kwa zaidi ya siku 5 mfululizo unakuwa umejifukuzisha kazi moja kwa moja. Rejea kesi ya Juma Kaseja dhidi ya Yanga

    ReplyDelete
  5. Taarifa kamili za kwenye mtandao zinasema Waydad wamekubaliana na Simba kununua mkataba wa Juuko uliobakia ndani ya Simba na viongozi wa Simba wamekubali na kutoa baraka zote. Sasa waandishi wakati mwengine labda hawazifanyii kazi taarifa zao au huamua kupotosha ukweli wa mambo makusudi. Kama simba walimuandikia barua Juuko ilikuwa kabla ya kupata timu na ni outdated story. Lakini pia juuko ni mchezaji halali wa Simba na aliamua kuondoka kuhuni kwenye timu na Simba ni wastarabu la sivyo wanauwezo wa kumuadabisha juuko kisheria na akadaabika.

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic