August 4, 2019


MCHEZO wa kirafiki kati ya Yanga na Kariobangi Sharks umekamilika ngoma droo.

Kariobangi Sharks walitangulia kufunga bao dakika ya 48 kupitia kwa Patrick Otieno na Yanga kupitia kwa Patrick Sibomana dakika ya 57 wakasawazisha bao kwa mkwaju wa penalti.

Ushindani ulikuwa mkali kwa kila timu kutafuta matokeo, Yanga wametengeneza nafasi nyingi kupitia kwa Patrick Sibomana ambaye amekuwa ni moto wa kuotea mbali kipindi cha kwanza.

Mashabiki ni kama wote uwanja wa Taifa leo kwenye kilele cha Mwanachi.

12 COMMENTS:

  1. Vip kuhusu taifa stars toa up-to-date

    ReplyDelete
  2. Wamebebwa haooo! Bahati yao

    ReplyDelete
  3. Penalti ya uongo tu.Kubebwa huko.Walicheza ns vitimu vya ovyo Morogoro kelele zikawa nyingi. Ukweli umeanza kuonekana na bado.Visingizio vitaanza.

    ReplyDelete
    Replies
    1. Tumecheza na mbabbe wa everton vipi nyie mikia mtatoka kwa timu ya wananchi ya power dynamo.

      Delete
  4. Mbabe wenu pia.Aliwachabanga kwenye Sports Pesa 3-2.Leo mmeiga droo kwa kubebwa kwa penalti feki.

    ReplyDelete
  5. Ni timu iliyomaliza ya nane msimu wa 2018/2019!Penalty hazina uhakika...Evarton ilifungwa kwa penalty!

    ReplyDelete
  6. Kweli ukimchukia mtu unamchukia tu hata afanye zuri utageuza ukweli na kuendelea kuponda. Hivi mmeiona hii yanga imafanana na yanga ile iliyopita ya kukata pumzi dakika ya 20 tu?

    ReplyDelete
  7. Tuchekeni lakini la muhimu tumepata hela ya mishara mastaa ya mwezi huu

    ReplyDelete
  8. Sasa kama mlikuwa mnakata pumzi dakika ya 20 mlikuwa mnalalamika nini?TIMU yenu msimu uliopita Ina nafuu.Ngoja ligi ianze mtajua ukweli. Mtawakumbuka Makambo na Ajibu.

    ReplyDelete
  9. Leo mlikata pumzi dakika 45 za kwanza.Timu bado sana. Mkicheza na timu nzuri mtafungwa nyingi.Timu haichezi kitimu kabisa.

    ReplyDelete
  10. Povu litawatoka sana nyie mikia mnaojiona mmefika kileleni pambaneni na hali zenu mambo ya yanga tuachieni wanainchi nyie endeleeni kudekezwa tu

    ReplyDelete
  11. Walikuwa hoi kipindi chapili wakiombea duwa Mpira umalizike pale walipokuwa wakianguka bila ya sababuj

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic