September 29, 2019


Kocha Mkuu wa Zesco, George Lwandamina amesema alianza kujipanga na dakika za nyongeza baada ya kuona kuna ugumu wa kuifunga Yanga ndani ya dakika 90.

"Hakukuwa na nafasi ya kushinda kutokana na mabadiliko ya kikosi cha Yanga, ilicheza vizuri na ushindani ulikuwa mkubwa hivyo hesabu zangu niliamini tutakwenda muda wa nyongeza," amesema.

Yanga imeng'olewa na Zesco katika Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kufungwa kwa mabao 2-1, bao la pili ikiwa imejifunga kupitia kwa kiungo wake mkabaji Abdulaziz Makame aliyekuwa akipambana kuokoa.


Kwa sasa nguvu za Yanga zinaelekezwa kwenye Kombe la Shirikisho.

2 COMMENTS:

  1. Kupigwa kapigwa Yanga eti halafu Zesco alibanwa?

    ReplyDelete
  2. Soma vizuri sheria za caf mwandishi hakuna dakika za nyongeza mechi ingeisha l-1 matuta

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic