September 29, 2019


Kocha wa Yanga Mwinyi Zahera afunguka sababu za kuchelewa kufanya mabadiliko, asema lengo lake lilikuwa kujiandaa kwa ajili ya mikwaju ya penati endapo mchezo ungemalizika kwa sare ya bao 1-1.

Kuhusu bao la kujifunga, Zahera amesema kiungo wake Abdul-aziz Makame alikuwa amechoka lakini hakutaka kumtoa kutokana na umuhimu wake kwenye penati.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic