September 15, 2019


FT; Azam FC 0-1 Triangel United
Kipindi cha pili zimeongezwa dakika tano
Uwanja wa Azam Complex


Goaal: Ralph Kawondera dk ya 34


MCHEZO uwanja wa Azam Complex kati ya Azam FC dhidi ya Triangel United ikiwa ni wa hatua ya Kwanza Kombe la Shirikisho ni FT.

Azam FC imepoteza mchezo kwa kufungwa bao 1.

Mashabiki wengi wamejitokeza uwanjani kuipa sapoti timu ya Azam FC huku wakiwa wanachekelea zawadi ya Juice mpya ya Ukwaju pamoja na Ice cream.

1 COMMENTS:

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic