December 31, 2019


MOHAMED Rashid, mshambuliaji wa Simba, ambaye yupo kwenye mpango wa kutolewa kwa mkopo amezigombanisha KMC, JKT Tanzania na Tanzania Prisons ambazo zote  zinahitaji huduma yake.

Habari zinaeleza kuwa Simba ipo kwenye hatua za mwisho kukamilisha dili la nyota huyo kutua KMC huku Tanzania Prisons na Kagera Sugar nao wakiwa mlangoni kuitaka saini ya nyota huyo.

Akizungumza na Saleh Jembe, Juma amesema kuwa kwa sasa bado hajapata timu ila wakati ukifika anaamini kila kitu kitakuwa sawa.

"Bado nipo Simba kwa sasa na ninaendelea vizuri, kikubwa ninachokijua kuhusu mimi kinasimamiwa na viongozi wangu ni suala la kusubiri," amesema.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic