January 10, 2020


LEO, Januari 10, droo ya hatua ya 32 ya michuano ya Kombe la Shirikisho imechezeshwa na timu zilizotinga hatua hiyo zimemtambua mpinzani wake.

Kombe la FA lililochini ya Azam FC iliyotwaa mbele ya Lipuli linatarajiwa kuendelea mwezi huu Januari na mechi zinatarajiwa kuchezwa kati ya Januari 24-26, 2020:-

Namungo v Biashara United

Mtibwa Sugar v Sahare All Stars


JKT Tanzania V Tukuyu Stars


Simba v Mwadui FC


Yanga v Tanzania Prisons

Azam FC v Friends Rangers


Kagera Sugar v Might Elephant


Lipuli v Kitayosa


Gwambina v Ruvu Shooting


African Lyon v Alliance FC


Polisi Tanzania V Mbeya City


Ndanda FC v Dodoma FC


Majimaji v Stand United


Ihefu v Gipco FC


KMC v Pan Africans


Panama v Mtwivila City

2 COMMENTS:

  1. Ule ulikua ni upepo tu,mwadui alikua na upepo siku ile,sasa akija kwakukariri matokeo yale ya mechi iliyopita ajiandae kupokea kichapo.

    ReplyDelete
  2. Yanga walijua watapenya kwa urahisi.Wakijua kwamba wanaweza kupambana na Simba waliamua kupumzisha wachezaji wa kikosi cha kwanza..Yondani aliingia toka benchi baada ya kuwa tayari wamefunga.Lamine aliendelea kubaki benchi...Haruna na Sibomana hawakuwepo.Golini alikaa kipa namba tatu.Lengo kikosi cha kwanza kiwe fiti ili kucheza mchezo wa nguvu na rafu kama ilivyokuwa kwa Prison na Simba.Wakatunguliwa sekunde ya mwisho gemu plan ikaanza upya.Kikawa kisingizio toka kwa Nungaz eti wamekuja kushindana sio kushinda na kuwa hawakulitaka kombe lisije waumizia wachezaji!Sasa sijui kombe gani wana uhakika nalo...la FA au la Premium league

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic