June 27, 2020


LEO Juni, 27 mambo timu 14 zitakuwa kwenye viwanja saba tofauti kusaka pointi tatu muhimu.

Mtifuano mkubwa leo utakuwa namna hii :-

 Ruvu Shooting v Namungo, Uwanja wa Mabatini.

Yanga v Ndanda, Uwanja wa Taifa.

Alliance v Coastal union, Uwanja wa Nyamagana .

Mwadui v Mtibwa Sugar, Uwanja wa Mwadui.

Biashara United v Azam FC, Uwanja wa Karume.

Mbeya City v JKT Tanzania, Uwanja wa Sokoine.


Kagera Sugar v KMC, Kaitaba.

Mechi zote zinachezwa saa 10:00 jioni.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic