August 19, 2020

TAYARI ratiba ya Ligi Kuu Bara imeshatoka na kila timu ishajua nani ataanza naye kwenye ligi msimu wa 2020/21.


Hizi hapa mechi tano za kikosi cha Yanga:-


 
Septemba 6, 2020, Yanga vs Tanzania Prisons- Uwanja wa Mkapa, Dar.

 
Septemba 13, 2020, Yanga vs Mbeya City- Uwanja wa Mkapa, Dar. 

Septemba 19, 2020, Kagera Sugar vs Yanga SC- Uwanja wa Kaitaba, Kagera.

Septemba 27, 2020, Mtibwa Sugar vs Yanga SC-, Uwanja wa Jamhuri-Morogoro.

Oktoba 3, 2020, Yanga SC vsCoastal Union- Uwanja wa Mkapa.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic