October 13, 2020

 


TAARIFA kutoka Shirikisho la Soka Tanzania,(TFF) leo Oktoba 13 limetoa taarifa kuzikumbusha timu ambazo zinajiandaa na mechi za ligi kwa kucheza mechi za kirafiki katika uwanja unaotumika kwenye mechi za  ligi kuacha kufanya hivyo.

Taarifa hiyo imeeleza kuwa kufanya hivyo ni kinyume cha kanuni hivyo timu zinapaswa kuwa na uwanja wa mazoezi pamoja na uwanja wa kuchezea mechi za kirafiki.

Taarifa hiyo imeeleza kuwa:-

14 COMMENTS:

  1. TFF wanajifanya hawajui hali halisi ya nchi yetu. Lakini hata huko majuu kuna muda mechi za kirafiki zinachezwa kwenye vieanja vile vile vya ligi kuu. Kwani viwanja ni mali ya TFF hadi wavimiliki? Timu zinazomiliki vieanja hicyo zinahitaji mapato pia

    ReplyDelete
  2. Hao viongoz wa tff wamekosa tu hela za mechi za kirafk ndo maan wanasumbua,

    ReplyDelete
  3. Kama ndiyo hivyo basi hata hao TFF mechi ya star ya kirafiki watafute uwanja mwingine usio tumuka na mechi za ligi kuu

    ReplyDelete
  4. Acheni kunyanyasa watanzania,viwanja ni mali ya watanzania wote sio CCM au TFF sio ije siku wananchi wasusie kwenda uwanjani halafu mulipe madeni za wachina wenyewe

    ReplyDelete
  5. Tanzania ya mpiraaaaaaa

    ReplyDelete
  6. Simba walicheza kwenye uwanja wao wakafungiwa wameenda kucheza chamanzi tena mnakaataa sasa wakacheze kwenye sebule zenu? Mbona mpo hovyo hivyo mpira nchi hii hautaendelea hadi kiama cha mwenyezimungu kweli kwa kuwa hawa viongozi wa tff ni uwozo mtupu kila wanakuja ni uwozo kuliko mwanzo basi na ligi futeni mbaki nyinyi tff yenu hata sielewi kwa kweli

    ReplyDelete
  7. Simba wana uwanja wao wametengeneza kwa garama yao bado wananyanyaswa azam wanauwanja wao tena unakubalika kimataifa ama kwa sababu hao GONGOWAZI hawana uwanja? Ndio mnatufanyia hivyo? Upuuzi mtu wallah

    ReplyDelete
    Replies
    1. Kapimwe akili naona hazitoshi

      Delete
    2. Haahaaaa eti kwa kuwa Utopolo hawana uwanja wao???....tutake radhi mtani wakati mwingine muwe na adabu kwani jana hujafika jangwani na kuona kaunda stadium ilivyo-shamiri na swimming pools na sherehe za vyura wakishangilia kwa kukeraa.

      Delete
  8. Wanataka pesa waibe wao ndio wanacho kitaka hakuna kingine

    ReplyDelete
  9. Hivyo viwanja ni vyao? Ama chamanzi ni yao wao? Ama MO arena yakwao wao au kwa sababu hao GONGOWAZI hawana kiwanja ndio wanabebwa? Ujinga juu ya ujinga kwa kweli

    ReplyDelete
    Replies
    1. Wewe ndio mjinga wa wajinga,nani anaongea mambo ya yanga hapo?

      Delete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic