November 7, 2020


 LEO ni Dar Dabi Uwanja wa Mkapa saa 11:00 ambapo joto la mechi hiyo linazidi kuwa juu kadri muda unavyomeguka.


Ni dakika 90 za nguvu ambapo kila mmoja atajua alichokipanda baada ya muda huo kukamilika.


Cheki namna Kikosi cha Yanga ambacho kinatarajiwa kuanza leo ni Metacha Mnata

 Kibwana Shomari

Yassin Mustapha

 Lamine Moro

 Bakari Mwamnyeto

 Mukoko Tonombe

 Farid Musa

 Feisal Salum

 Michael Sarpong

Yacouba Sogne 

Tuisila Kisinda


Kwa mujibu wa Championi Jumatano

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic