January 29, 2021

 


BARBARA Gonzalez, Mtendaji Mkuu wa  Simba amesema kuwa Yanga wanamnga'nga'nia mchezaji wao wa zamani Bernard Morrison.

Nyota huyo ambaye alisaini dili la miaka miwili ndani ya Simba akitokea Klabu ya Yanga amekuwa kwenye mvutano na mabosi wake wa zamani hao kuhusu suala la mkataba wake.

Yanga wao wanaeleza kuwa nyota huyo ana mkataba wa miaka miwili ndani ya Yanga huku mchezaji mwenyewe akisema kuwa alisaini dili la miezi sita.

Sakata lake lilisikilizwa makao makuu ya Shirikisho la Soka Tanzania, (TFF) kwa muda wa siku tatu na mwisho wa siku waliamua kwamba mchezaji huyo ni huru kutokana na makosa ambayo yalikuwa kwenye mkataba wake.
 
Kutokana na matokeo hayo Yanga ilikata rufaa kwenye mahakama ya usuluhishi wa masuala ya michezo,(CAS) ili kuweza kupata haki ya mchezaji wao.

Barbara amesema:"Kesi ya Morrison na Yanga bado ipo na kuna baadhi ya wanasheria wanatusaidia kwenye hiyo kesi.

"Naona Yanga bado wanahangaika. Ni kama upo kwenye mahusiano mnaachana halafu bado unamlazimisha mpenzi wako wa zamani arudi.

"Mmeachana, hakutaki, ameshaendelea na maisha mengine, bado unamng’ang’ania wa nini? Halafu mwenzio anamaisha yake hakusubiri. Achananae."

Chanzo:Clouds


18 COMMENTS:

  1. Na kwa muungwana, pindi mpenzi wako akitamka kukwambia sikutaki bila ya sababu yoyote, nawe umjibu ikiwa hunitaki mara moja nami sikutaki mara kumi na ukimngangania anaweza kukutilia vigae ndani ya chakula. Huyu mtu hatakeni huko alipo anahisi yupo peponi. Kuweni waungwana

    ReplyDelete
  2. Uyo Barbara amepotoka na aelewi kinachoendelea dhidi ya Morrison, yanga awana aja na morrison kwamba arudi yanga, wao wanachokitaka ni haki yao ambayo ilipokonywa kwa kumsajili pasipo kufata utaratibu, sasa alitegemea MTU mmoja achafue brand ya yanga alafu wamuache tu? Isingewezekana laxima sheria, taratibu na kanuni zifatwe na sio vinginevyo

    ReplyDelete
    Replies
    1. Tuliwaita mezani wavunje mkataba wala hakung'ang'aniwa.. wao walitaka wampate bure/ kihuni.. sisi tunachotaka ni chetu tu sio zaidi.

      Delete
    2. Ulimuita Nani mezani wewe unafikiri Morrison hana akili nyie,mtuite mezani kwa mkataba upi mliokuwa nao,subirini CAS wawape majibu yenu mbona mnaweweseka

      Delete
    3. Walioitwa mezani ni Mikia aka paka mweusi

      Delete
    4. ..mmeshaanza kulalama subiri yajayo ya CAS

      Delete
  3. Pendo kitu cha khiari. Vipi wanilazimisha nami nnaye nimpendae na tafuta mwengine usije adhirika

    ReplyDelete
  4. Akishanza kuota mapembe ndio mtajua huyo sio mtu, jasiri haachi Asili, ni suala la muda tu...

    ReplyDelete
  5. Nyie kweli mikia hakiri haziwatoshi Huyo kahaba analinganusha mapenzi na kazi za zawatu yeye kama kazi yake ni kudanga afanye udangaji sio kufananisha yanga na ujinga wake kwani yanga hawana akili mpaka wanaenda kutafuta haki zao mbele kule kitaeleweka nani muongo

    ReplyDelete
    Replies
    1. We choko kweli Sasa si usubiri hiyo haki yenu mlikoenda kushtaki mnatupigia kelele,mmezoea kuongopewa na viongozi wenu feki,alafu kahaba ni mama yako mzazi aliyekuzaa tahira wewe

      Delete
  6. Anaongea kiushoga shoga huyu demu,sijuhi anableed?Na Simba wote wanableed siku hizi

    ReplyDelete
    Replies
    1. Kumbe mama yako alikuambia alikuwa hableed hivyo akakuzaa kupitia kinyeo chake cha mavi na matokeo yake akili yako imekuwa ya kimavi-mavi...Pumbafuu wewe nyani

      Delete
  7. Mama yako bila ku bleed ungezaliwa wewe choko?Wewe unafikiri wanawake wanazaa kwa mkundu?

    ReplyDelete
  8. Kikwete alishasema...wanapoteza hela na muda

    ReplyDelete
    Replies
    1. Hatuwezi kuacha mambo ya kizamani yaendelee...sheria na taratibu ziheshimiwe.

      Delete
  9. Nahisi matopolo siku hizi wamepwaya sana. Morrisson anawaumiza sana hasa kwa yale yote aliyoyafanya siku ya pambano na Al Ahli walipo lala kwa 4G timu ambayo jana ikawafunga Mabingwa wa Africa Mazembe kwa mbili moja

    ReplyDelete
  10. Matusi yote hayo ya nini hata hamumuogopi MUNGU ndugu zangu barbra alitoa maoni yake cha kufanya ni kusubiri majibu ya cas daima mbele nyuma mbele mwiko!!

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic