VIDEO: AISHI MANULA ALIVYOKIMBIZWA HOSPITALI BAADA YA KUPATA MAJERAHA
KIPA wa Simba, Aishi Manula Februari 1, 2021 amepakizwa kwenye gari la wagonjwa baada ya kuumia dakika ya 71 ya mchezo wa Ligi Kuu Bara kati ya Msimbazi na JKT Tanzania unaopigwa kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.
Naona huduma ya kwanza wapo slow hawajui hata muelekeo kwa staili hyo wagojwa nilirahisi kukosa msaada haraka,,,nlitegemea wawe facta kwel
ReplyDeleteVery slow hawajui hata muelekeo daaa
ReplyDeleteRefa wa simba vs JKT anapaswa kufungiwa maisha kwa usalama na afya za wachezaji.Naamini kama ingekuwa utopolo refa angotolewa kwa helkopta kutoka kwa mkapa
ReplyDeleteHuyu refa hafai
ReplyDelete