April 17, 2021

 


LIGI Kuu Tanzania Bara leo Aprili 17 inaendelea ikiwa ni mzunguko wa pili kwa timu kusaka poini tatu muhimu.

Coastal Union iliyo nafasi ya 11 na pointi 30 v Ruvu Shooting iliyo nafasi ya 8 na pointi 34, Uwanja wa Mkwakwani, Tanga.


Mtibwa Sugar iliyo nafasi ya 15 na pointi 24 v Kagera Sugar, iliyo nafasi ya 14 na pointi 26, Uwanja wa Jamhuri, Morogoro.


Yanga iliyo nafasi ya kwanza na pointi 51 v Biashara United, iliyo nafasi ya nne na pointi 40  Uwanja wa Mkapa, Dar.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic