KIKOSI bora cha wiki Ligi ya Mabingwa Afrika,katika hatua ya robo fainali kimetolewa ambapo nyota watano wa kikosi cha Simba wametajwa.
Licha ya kwamba kikosi hicho kinachonolewa na Kocha Mkuu, Didier Gomes na msaidizi wake ni Seleman Matola kuishia hatua hiyo.
Wachezaji ambao wametajwa ni pamoja na John Bocco, Clatous Chama, Mohamed Hussein, Shomari Kapombe na Luis Miquissone.









Watano bhana sio wanne
ReplyDeleteMwandushi vipi wewe, ni watano sio wanne, hesabu vizuri. Kapombe,Luis,Chama, Boko na mohamed Husssein. Inasikitisha timu bora imetolewa!
ReplyDeleteGongo wazi lenye chuki na hasada hilo. Mnyama anaposifiwa yeye anaumia ni hatari kwa siha yake
ReplyDeleteKwa hiyo mmebakwa au mmetolewa??????
ReplyDeleteUnalo
DeleteMnyama kasifika kimataifa
ReplyDeleteLoo kumbe sharia la Emirates. Kweli ystia uchungu
ReplyDeleteKiana tuumeetingaa uto mjiandaeee kutoa hataa shabiki boraa waa week
ReplyDelete