VIDEO: BABA LEVO: KAMA YANGA IKIFUNGWA NA SIMBA DIAMOND ANIFUKUZE KAZI
KUELEKEA mchezo wa Ligi Kuu Bara kati ya Simba v Yanga unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa, Mei 8, shabiki wa Yanga na msanii, Baba Levo amesema kuwa anaamini timu yake itashinda na kuweka ahadi kwamba ikiwa itafungwa basi atamwambia bosi wake Diamond amfukuze kazi
Utafungwa na itabidi uombe radhi urejeshwe kazini kwakuwa huna kipato kingine kwani si ilitoka Mmoja akasema akifungwa na Simba ataachika mkewe na akabakia kuangusha kilio lakini hawa ni wepesi sana kusahau
ReplyDeleteMimi ni mpenzi na mshabiki mkubwa wa yanga lakini huwa napenda shabiki mwenzangu awe wa simba au yanga aziongelee timu hizi mbili ki uhalisia,panapostahili kusifia afanye hivyo bila kujali anaemsifia ni mchezaji wa timu yake/klabu yake au mpinzani,penye kukosoa afanye hivyo pia bila kujali anaemkosoa ni mchezaji wa timu yake/klabu yake au mpinzani.Baba levo ameshindwa kufanya hivyo,huwezi kumdharau mchezaji kama luis Mikson.
ReplyDelete