June 4, 2021

2 COMMENTS:

  1. Kasema ukweli, yanga wanajimaliza wenyewe kwa usomjisomji na figisu za viongozi. Mchawi mkuu wa yanga ni gsm, labda manji akubali mdio itakuwa salama ya yanga

    ReplyDelete
  2. Mwanangu we unasema kweli kabisa GSM na uongozi wote wanazingua uongzi wa Yanga unaongozwa na watu we usimba wanaihujumu timu na ndiomana Simba wamsema watachukua ubingwa mara kumi mfululizo hizo ni kebehi na tambo za kuwa wanajua fika kwamba inaongozwa na watu zao YANGA AMKENI JAMANI; la sivyo mtakuja kujuta big time

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic