September 12, 2021


FT: UWANJA wa Mkapa 
Yanga 0-1 Rivers United 
Mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya awali

 Kipindi cha pili

Jesus Moloko anaonyeshwa kadi ya njano na zimeongezwa dk 4
Dakika 90 zimekamilika 
Dakika ya 88 kipa wa Rivers United anaonyeshwa kadi ya njano
Dakika ya 85 Said Ntibanzokiza anaingia anatoka Mauya
Dakika ya 76 Sochima kipa wa Rivers United anaanua majalo eneo lake
Dakika ya 73 Kibwana Shomari anapiga faulo inaokolewa na ukuta wa mabeki wa Rivers United 
Dakika ya 71 Nchimbi anafanya jaribio linakwenda kuokolewa na kipa wa Rivers United 
Dakika ya 65 Makambo anatoka anaingia Yusuph Athuman
Dakika ya 65 Feisal anapiga of target 
Dakika ya 63 Feisal anapeleka mashambulizi Rivers United 
Dakika ya 55 anatoka Yacouba anaingia Nchimbi
Dakika ya 60 Yanga wanapata faulo inaokolewa na kipa wa Rivers United 
Dakika ya 51 Goal anafungwa Diarra na Moses kwa kichwa ndani ya 18.
Dakika ya 50 Rivers wanapata kona ya kwanza 
Dakika ya 47 Feisal anachezewa faulo
Yanga 0-0 Rivers United 

UWANJA wa Mkapa ni mapumziko kwa sasa na timu zote zote mbili zimetoshana nguvu bila kufungana.


UWANJA wa Mkapa

Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya awali

Kipindi cha kwanza

Mapumziko 


Zimeongezwa dakika 2


Yanga 0-0 Rivers United 

Dakika ya 44 Rivers United wanapeleka mashambulizi Yanga 

Dakika ya 42 Rivers United wanafanya jaribio ndanibya 18 linalenga nje ya lango

Dakika ya 37 Moloko anapiga kona inaokolewa na Rivers United 

Dakika ya 35 Makambo anapewa huduma ya kwanza 

Dakika ya 30 Yacouba anapiga of target ya pili kwa pasi safi ya Feisal Salum 

Dakika ya 22 Moloko anaotea

Dakika ya 20 Adeyum anapiga faulo inakuwa ni off target 

Dakika ya 19 Fei Toto anachezewa faulo na nyota wa Rivers United 

Dakika ya 17 Mauya anamchezea faulo nahodha wa Rivers United na anaonyeshwa kadi ya njano 

Dakika ya 16 Kibwana anapewa jukumu la kupeleka mashambulizi Rivers United 

Dakika ya 14 Makambo anapeleka kwa Kibwana Shomari 

Dakika ya 12 Yanga wanapiga kona ya pili haileti matunda kwa Yanga 

Dakika ya 10 Rivers United wanapeleka mashambulizi Yanga yanaokolewa na Diarra Djigui 

Dakika ya 9 Mauya anapeleka maji Rivers United yanaokolewa

Dakika ya 7 Yanga wanafanya jaribio linaokolewa na beki

Dakika ya 4 Adeyum anapewa huduma ya kwanza.

Dakika ya 2 Mauya anafanya jaribio halileti matunda kwa Yanga


22 COMMENTS:

  1. Pole utopolo, mjifunze kuwaheshimu wanaopambana, mlizidi makelele kwa wageni

    ReplyDelete
    Replies
    1. Khaji Manara atajua hajui kuwa porojo sio msingi wa maendeleo.

      Delete
    2. Gundu la KHAJI MANARA linaendeela kuwatesa Yanga.👺

      Delete
  2. Mpira ni investment ya maana pesa siokelele

    ReplyDelete
  3. Wananchi hawakufata walioambiwa kuwa tunataka magoli mengi sana kurahisisha mechi za huko Gana lakini hawakusikia. Sasa iliobaki ni kupinduwa meza huko kwao. Maneo mengi ndio yanayochafuwa kila kitu

    ReplyDelete
  4. katika mechi ya wenzenu anaingia paka mmoja mweusi..halafu wakishinda eti wachawi...mmeingiza kunguru wawili weusi na mmeshindwa kushinda! ndiyo mtajua hamjui..Muda ulikuwepo hivyo sababu ya timu kutozoeana haina mshiko...wala ile ya kuklsa ITC za Djuma Aucho na Mayele.?Poleni jipangeni upya.

    ReplyDelete
  5. Kunguru wawili weusi wameshinda kwenye lango la Rivers! hatutaki kusikia hadithi ya paka weusi.Mkome kunguru weusi nyie!

    ReplyDelete
  6. Hahahaa, kikosi cha kuangamiza Rivers. Ni matokeo ya majisifu na Kejeli nyingi za Fulani

    ReplyDelete
  7. Aibu kweli yaani munapigwa kwenu .mukibebwa mujikaze leo simba kafanya tumepata timu 4 kesha mujisifu yanga ya kimataifa .muwakejeli simba kwenye mitandao yote na kuwaona si lolote si chochote mpira si midomo kama manara .sisi simba tunasema kwa mañana hatoki mtu hata iwe vipi kufa kupona .haya kapindueni meza

    ReplyDelete
    Replies
    1. Utoplios hawana ubavu wa kupindua meza....ndio wameshaaga mashindano...ni aibu

      Delete
  8. Mwacheni Manara, mbona mlisema hamjali kumbe limewauma sana! Nilisubiri kujithibitishia hili.

    ReplyDelete
  9. Kikosi cha makombe yote kitachoirejesha yanga katika enzi zake, ndivo wanavosema. Hawajiwekei akiba katika maneno yao, wanatukana na kukebehi na kukebehi ikifika jioni chali. Hawanna wa kuwakataza

    ReplyDelete
  10. nawasalimu kwa jina la jamhuri ya wananchi,

    "MOSES OMODUMUKE abarikiwe"...

    ReplyDelete
  11. Tumepoteza kwa sababu wachezaji wetu watatu tegemeo wameharimishwa kucheza. Sisi tunataka tufike mbali sana pamoja na kuchukuwa ubingwa. Ulimi mwingi unaponza

    ReplyDelete
    Replies
    1. Na wale mliowapa corona fake nao wasemeje?tena wale key players ndio mkaona muwape corona,sasa subirin mfike nigeria muone kama na nyie hamtapewa corona first 11 yote na mechi lazima ichezwe.kila mla cha mwenzie na chake lazima kiliwe,mungu hataki zambi mmefungwa vivyo hivyo jumlisha na laana za aliyewabeba alafu hamtaki kuwashimu,YANGA tambua kwamba unapaswa kumuheshimu aliyekufanya ukafika hapo ulipo,kama sio simba usingecheza kimataifa ila tambua pia kama sio laana ungeshinda jana,utaendelea kuteseka sana bado.

      Delete
  12. Muda utasema.. kwani si makolo wametolewa jasho na Fountain Gate au nakosea?

    ReplyDelete
    Replies
    1. Jidanganyeni tu.. kocha anawachezesha wachezaji wapya ili wazoee mfumo wa Simba! Subiria First eleven ndio mtajua hamjui

      Delete
  13. Tumejiinamia kwa misiba miwili, kuondokwa kwa kipebzi wetu Hans Pop, Mungu ampe malazi mema na hili janga la kufungwa na wanaijiria tena nyumbani

    ReplyDelete
  14. The Return of UTOPOLIONS

    ReplyDelete
  15. Wakudaka mishale vipi mbona mpira hauoni

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic