September 5, 2021

 


KIUNGO mshambuliaji Miraj Athuman ambaye alikuwa nyota wa kikosi cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu, Didier Gomes sasa ni rasmi kuwa atakuwa mali ya KMC.

Nyota huyo hakuwa kwenye nafasi nzuri msimu uliopita kutokana na kukosa nafasi kikosi cha kwanza pia majeraha ya mara kwa mara ilikuwa sababu ya nyota huyo kujenga ushkaji na benchi.

Anaungana na Faroukh Shikalo ambaye huyu alikuwa anakipiga Yanga msimu uliopita na kwa sasa atakuwa ndani ya KMC.

Ofisa Habari wa KMC, Christina Mwagala amesema kuwa ni mapendekezo ya benchi la ufundi usajili wao.

1 COMMENTS:

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic