October 3, 2021

MCHEZAJI wa zamani wa Yanga, Jerry Tegete amesema kuwa Yanga ina kikosi kizuri ambacho kinaweza kuwapa matokeo huku wachezaji wakiwa na uwezo wa kufanya kile ambacho wanakitaka na pia kuhusu Simba ameweka wazi kwamba aliwatazama mara moja kwenye mchezo wa Ngao ya Jamii.
 
Amebainisha kuwa hawezi kucheza timu kubwa kwa wakati wa sasa ambapo anaitumikia African Lyon inayoshiriki Ligi Daraja la Kwanza. 

 

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic