October 4, 2021

MENEJA wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars amesema kuwa nahodha Mbwana Samatta atawasili leo saa tano huku Simon Msuva yeye atawasili kesho asubuhi.

Nyota hao wanakuja kwa ajili ya maandalizi kwenye mchezo ujao dhidi ya Benin wanahitaji kupata ushindi ili kuweza kufuzu Kombe la Dunia. Wachezaji ambao waliripoti kambini na wamepewa mapumziko ni Erasto Nyoni, Shomari Kapombe na Bakari Mwamnyeto hawa wamepewa mapumziko kwa kuwa wanamaumivu huku Jonas Mkude akiwa na matatizo ya kifamilia.

 

1 COMMENTS:

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic