October 1, 2021

SHABIKI wa Simba ameweka wazi kuwa matokeo ambayo wanayapata kwenye mechi zao za hivi karibuni ni kawaida ila uhakika wao ni mkubwa leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Dodoma Jiji.

 Simba inashuka Uwanja wa Jamhuri Dodoma ikiwa inakumbuka kwamba imetoka kulazimisha sare ya bila kufungana na Biashara United ya Mara Uwanja wa Karume.

 

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic